Thanks to visit codestin.com
Credit goes to www.scribd.com

0% found this document useful (0 votes)
268 views6 pages

QUESTIONS

very helpful

Uploaded by

ricirungu40
Copyright
© © All Rights Reserved
We take content rights seriously. If you suspect this is your content, claim it here.
Available Formats
Download as DOCX, PDF, TXT or read online on Scribd
0% found this document useful (0 votes)
268 views6 pages

QUESTIONS

very helpful

Uploaded by

ricirungu40
Copyright
© © All Rights Reserved
We take content rights seriously. If you suspect this is your content, claim it here.
Available Formats
Download as DOCX, PDF, TXT or read online on Scribd
You are on page 1/ 6

SEHEMU YA A.

MATUMIZI YA LUGHA(Alama 40)


a. Andika sifa mbili mbili za sauti zifuatazo. (alama 2)
(i). /e/
…………………………………………………………………………………………………
…………………………………………………………………………………………………
…………………………………………………………………………………………………

(ii). /ch/
…………………………………………………………………………………………………
…………………………………………………………………………………………………
…………………………………………………………………………………………………

b). Unda maneno yenye muundo ufuatao wa sauti. (Alama 2)


KIKIKI………………………………………………………………………………………..

IKKI……………………………………………………………………………………………
c). Onyesha miundo miwili ya nomino katika ngeli ya U-ZI (alama 2)
…………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………..
d). Tunga sentensi moja moja kuonyesha matumizi ya viakifishi vifuatavyo. (alama.2)
i). Vifungo …………………………………………………………………………………
ii). Kibainishi ……………………………………………………………………………..
e). Bainisha aina za virai vilivyopigiwa mstari (alama 2)
Mhadhara huo tata ulitolewa jana jioni.
…………………………………………………………………………………………………
f). Andika sentensi ifuatayo katika ukubwa. (Alama 2)
Ndege hao wana manyoya mengi
…………………………………………………………………………………………………
…………………………………………………………………………………………………
g). Andika visawe vya maneno yafuatayo. (Alama 2)
i). Doa
…………………………………………………………………………………………………
ii). Omba
…………………………………………………………………………………………………
(h) Tunga sentensi moja kutofautisha maana ya riti na ridhi (Alama 2)
…………………………………………………………………………………………………
…………………………………………………………………………………………………
…………………………………………………………………………………………………

i). Bainisha silabi katika neno (Alama 1)


Wanyweshavyo
…………………………………………………………………………………………………
j). Bainisha kiima na chagizo katika sentensi ifuatayo (alama.2)
Mwenyewe alikipenda kwa dhati
…………………………………………………………………………………………………
…………………………………………………………………………………………………
…………………………………………………………………………………………………
k). Tumia kielezi cha kiasi badala ya kile kilichopigiwa mstari. (alama.2)
Msichana yule alizungumza kitausi.
…………………………………………………………………………………………………
…………………………………………………………………………………………………
l). Geuza sentensi ifuatayo katika usemi halisi (alama.2)
safina alimwambia Asha kuwa angetembelea wazazi wao siku hiyo jioni.
…………………………………………………………………………………………………
…………………………………………………………………………………………………
…………………………………………………………………………………………………

m). Changanua sentensi ifuatayo kwa kielelezo cha matawi (Alama 3)


Mvua kubwa inayonyesha itasababisha mafuriko.
…………………………………………………………………………………………………
…………………………………………………………………………………………………
…………………………………………………………………………………………………
n). Kanusha sentensi ifuatayo kwa wakati ujao hali ya kuendelea (Alama 2)
Walimu wanafunza
…………………………………………………………………………………………………
…………………………………………………………………………………………………
o). Andika upya setensi ifuatayo wa kuzingatia kauli iliyowekwa katika mabano (Alama 2)
yeye ni bahili itakuwa vigumu kumkopesha pesa. (kutendesheka)
…………………………………………………………………………………………………
…………………………………………………………………………………………………

(p) Tunga sentensi mbili kuonyesha matumizi mawili tofauti ya ‘na’ (alama 2)
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
q). Andika sentensi ifuatayo upya ukianzia yambwa tendewa (alama.2)
kirwa alimjengea mama huyo nyumba kwa mawe
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
r). Ainisha vishazi katika sentesi ifuatayo. (alama 2)
ingawa alitia bidi masomoni,alifeli mtihani.
…………………………………………………………………………………………………
…………………………………………………………………………………………………
s). Andika sentensi upya ukitumia vinyume vya maneno yaliyopigiwa mstari. (Alama 2)
Mama alijitwika kikapu mgongoni baada ya kuinjika chungu mekoni.
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
t). Andika sentensi zifuatazo upya kwa kufuata maagizo uliyopewa.
i). umekuja (alama 2)
ii) Tumefurahi sana (unganisha sentensi hizi kwa kuanza na kuja…….)
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
SEHEMU YA B: USHAIRI- (Alama 20)

Niokoa muokozi, uniondolee mashaka

Kuyatukua siwezi, mjayo nimedhikika

Nimekitiri simanzi,ni katika kuudhika

Mja wako nasumbuka,nipate niyatakayo

Mja wako nasumbuka,nataka kwao afua

Nirehemu kwa haraka,nami nipate pumua

Naomba hisikitika,na mikono hiinua

Mtenda ndiwe moliwa,nipate niyatakayo

Mtenda ndiwe moliwa,we ndiwe mola wa anga

Mazito kuyaondoa,pamoja na kuyatenga

Ukauepusha ukiwa,ya pingu zilonifunya

Nikundulia muwanga,nipate niyatakayo

Nikundulia muwanga,nipate toka kizani

Na huzuni n’ondolea,itoke kwangu moyoni

Mambo mema niegheshea,maovu nisitamani

Nitendea wa manani,nipate niyatakayo

Igeuze yangunia,dhaifu unipe mema

Nili katika dunia,kwa afia na uzima

Moliwa nitimizia,yatimize yawe mema

Nifurahike mtima,nipate niyatakayo.


Maswali

(a). Eleza bahari zozote mbili za shairi hili (alama 4)

(b). Eleza muundo wa shairi hili (Alama 4)

(c). Mshairi ametumia uhuru wake wa utunzi. Eleza mifano minne huku ukitoa mifano (alama 4)

(d). Andika ubeti wa pili katika lugha tutumbi (alama 4)

(e). Fafanua dhamira ya mtunzi wa shairi hili


(alama.2)

(f). Eleza maana ya misamiati ifuatayo kama ilivyotumika katika shairi (alama 2)

(i). Nimedhihika

(ii). Nifurahike mtima

SEHEMU YA C: RIWAYA – ASSUMPTAMATEI - CHOZI LA HERI

Jibu swali la 2 au 3:

2. Haki za watoto hazitiliwi maanane katika jamii nyingi za kiafrika. Eleza ukweli wa kauli hii
kwa kurejelea Riwaya ya chozi la heri (Alama 20)

au

3. “Kuukata mkono niliostahili kuubusu yalinifika ya kunifika”

a. Eleza muktadha wa dondoo hili (Alama 4)

b. Eleza namna msemaji alivyoukata mkono aliostahili kuuibusu. (alama 6)

c. Eleza tamathali ya usemi unaojitokeza katika dondoo hili. (alama.2)

d. Fafanua sifa nne za msemaji wa kauli hii (alama 8)


SEHEMU YA D : FASIHI SIMULIZI
Jibu swali la 4 au 5

4. (a) Miviga ni nini? (Alama 2)

(b) Fafanua sifa sita za miviga (Alama 6)

(c) Kwa nini jamii huthamini miviga (Alama 8)

(d). Onyesha udhaifu unaohusishwa na miviga (Alama 4)

Au

5. i. Fafanua sifa tano za hekaya. (Alama 5)

ii. Eleza maana ya; (alama 5)

a. Vitanza ndimi.

b. Tahalili

c. Vivugo

d. Matambiko

e. Maapizo

iii. Jadili mifano mitano ya ngomezi za kisasa. (al 5)

iv. Eleza kwa hoja tano udhaifu wa hojaji kama njia ya kukusanya Fasihi Simulizi. (al 5)

You might also like